iqna

IQNA

wanawake waislamu
Wanawake katika Uislamu
JEDDAH (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina Mohammed amesema wanawake wametoa mchango wa ajabu katika ustaarabu wa Kiislamu.
Habari ID: 3477861    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/08

Wanawake Waislamu
MECCA (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeandaa mkutano wa kimataifa wa siku tatu huko Jeddah unaoitwa "Wanawake katika Uislamu: Hadhi na Uwezeshaji" unaoanza Jumatatu.
Habari ID: 3477848    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/06

WASHINGTON, DC (IQNA) - Wanafunzi wa Kansas walipata msukumo katika hadithi za wanawake wa Kiislamu kwenye Chuo Kikuu cha Jimbo la Wichita wiki iliyopita.
Habari ID: 3477712    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/11

Haki za Wanawake katika Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislam ya Iran anasema tofauti na Iran, nchi za Magharibi zimekuwa zikikiuka haki za binadamu kwa kuwatumia wanawake kama chombo cha mashinikizo dhidi ya mataifa huru.
Habari ID: 3477684    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/02

Wanawake katika Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Mustafa(SAW) ya Sayansi na Teknolojia hivi karibuni iliandaa jopo la kisayansi kwa ushirikiano na Jukwaa la Kimataifa la Wanawake katika Sayansi ili kujadili mustakabali endelevu unaojumuisha jinsia kupitia sayansi, teknolojia na uvumbuzi.
Habari ID: 3475793    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

IQNA-Tuko katika mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra SA binti mtukufu wa Bwana Mtume SAW na mwanamke bora duniani na Akhera, mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema.
Habari ID: 3470874    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/02

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Misri zimepata medali zao za kwanza za mashindano ya taekwondo ya wanawake katika michezo ya Olimpiki ya Rio, 2016.
Habari ID: 3470534    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/20

Kongamano la Saba la Kuwaenzi Wanawake Wanaharakati wa Qur'ani litafanyika sambamba na Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3470305    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/11

Wanawake Waisalmu wa madhehebu za Shia na Suni nchini Marekani wamefanya kongamano maalumu kwa lengo la kuimarisha umoja wa Kiislamu baina yao.
Habari ID: 3470282    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/01

Wanawake Waislamu nchini Marekani wametakiwa kujifunza mbinu za kujilinda na kujihami wanaposhambuliwa kutokana na kuongezeka chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3470195    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/14